5 “Waambie watu wote wa nchi na makuhani, ‘Mlipofunga+ na kuomboleza katika mwezi wa 5 na mwezi wa 7,+ mkafanya hivyo kwa miaka 70,+ je, kweli mlifunga kwa ajili yangu mimi?+
14 “Mmesema, ‘Hakuna faida kumtumikia Mungu.+ Na kwa vile tumeshika wajibu wetu kwake, na tumetembea kwa huzuni kwa sababu ya Yehova wa majeshi, kuna faida gani?+