Isaya 58:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 ‘Kwa nini huoni, tunapofunga?+ Na kwa nini hutambui tunapojitesa?’*+ Kwa sababu siku mnayofunga mnafuatia mapendezi yenu wenyewe,*Nanyi mnawakandamiza wafanyakazi wenu.+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 58:3 w09 4/1 29; ip-2 277, 279 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 58:3 Mnara wa Mlinzi,4/1/2009, uku. 29 Unabii wa Isaya II, kur. 277-279 Amkeni!,3/8/1995, uku. 11
3 ‘Kwa nini huoni, tunapofunga?+ Na kwa nini hutambui tunapojitesa?’*+ Kwa sababu siku mnayofunga mnafuatia mapendezi yenu wenyewe,*Nanyi mnawakandamiza wafanyakazi wenu.+