Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Unafiki Wafichuliwa!
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Kufunga Kula kwa Njia ya Unafiki

      5. Wayahudi wanajaribu kukubaliwa na Mungu kwa kufanya nini, na Yehova anaitikiaje?

      5 Wayahudi wanajitahidi kukubaliwa na Mungu kwa kufuata desturi ya kufunga kula, lakini uchaji wao wa kusingizia unazidi tu kuwatenganisha na Yehova. Na inaonekana wanatatanika fikira, kwani wanauliza hivi: “Ya nini tufunge chakula usipoona? Ya nini tujitese usipoangalia?” Naye Yehova anawaambia hivi bila kuwaficha neno: “Siku za kufunga mwafanya biashara [“mlikuwa mkijifurahisha,” “NW”], na kuwalemea wote watendao kazi kwenu.

  • Unafiki Wafichuliwa!
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Isaya 58:3

  • Unafiki Wafichuliwa!
    Unabii wa Isaya II—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • 6. Ni vitendo gani vya Wayahudi vinavyoonyesha kwamba wanafunga kwa unafiki?

      6 Watu hao wanafunga kula, wanajifanya wenye haki, na hata wanaomba Yehova awafanyie hukumu za haki, huku wao wakifuatia raha kwa ubinafsi na kuendesha biashara zao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki