Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 34:15, 16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na hivi karibuni* ninyi wenyewe mligeuka na kufanya yaliyo sawa machoni pangu kwa kuwatangazia uhuru wenzenu, nanyi mkafanya agano mbele zangu katika nyumba inayoitwa kwa jina langu. 16 Lakini mligeuka tena na kulichafua jina langu+ kwa kuwarudisha watumwa wenu wa kiume na wa kike ambao mlikuwa mmewaachilia huru kama walivyotaka, nanyi mkawalazimisha tena kuwa watumwa.’

  • Mika 3:2-4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Lakini mnachukia mema+ na kupenda maovu;+

      Mnawachuna ngozi watu wangu na kuondoa nyama kutoka kwenye mifupa yao.+

       3 Pia mnakula nyama ya watu wangu+

      Na kuwachuna ngozi,

      Mnapasua mifupa yao, na kuivunja vipandevipande,+

      Kama kitu kinachopikwa ndani ya chungu,* kama nyama ndani ya chungu cha kupikia.

       4 Wakati huo watamlilia Yehova awasaidie,

      Lakini hatawajibu.

      Atauficha uso wake kutoka kwao wakati huo,+

      Kwa sababu ya matendo yao maovu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki