Yeremia 34:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nanyi leo mnageuka na kufanya yaliyo sawa machoni pangu kwa kumtangazia uhuru kila mtu mwenzake, nanyi mnafanya agano mbele zangu+ ndani ya nyumba ambayo jina langu limeitwa juu yake.+
15 Nanyi leo mnageuka na kufanya yaliyo sawa machoni pangu kwa kumtangazia uhuru kila mtu mwenzake, nanyi mnafanya agano mbele zangu+ ndani ya nyumba ambayo jina langu limeitwa juu yake.+