7 Kwa hiyo moyo wangu ukatafakari ndani yangu, nami nikaanza kuwalaumu+ watu wenye vyeo na watawala-wasaidizi, na kuwaambia: “Mnatoza riba,+ kila mmoja kutoka kwa ndugu yake mwenyewe.”
9 kila mtu kumwachilia huru mtumishi wake wa kiume na kila mtu mjakazi wake, mwanamume Mwebrania+ na mwanamke Mwebrania, ili wasiwatumie kama watumishi, yaani, Myahudi, ambaye ni ndugu yake.+