Kutoka 22:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Ukiwakopesha watu wangu pesa, mwenye kuteseka aliye kando yako,+ usiwe kwake kama mla-riba. Msimtoze faida.+ Mambo ya Walawi 25:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Usichukue faida na riba kutoka kwake,+ lakini umwogope Mungu wako;+ naye ndugu yako ataendelea kukaa akiwa hai pamoja nawe. Kumbukumbu la Torati 23:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Usimfanye ndugu yako alipe faida,+ faida juu ya pesa, faida juu ya chakula,+ faida juu ya kitu chochote ambacho mtu anaweza kudai faida. Zaburi 15:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Pesa zake hakutoa ili apate faida,+Wala hakuchukua rushwa dhidi ya mtu asiye na hatia.+Yeye anayefanya mambo hayo hatatikiswa.+ Ezekieli 22:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wamechukua rushwa ndani yako kwa kusudi la kumwaga damu.+ Umechukua faida na riba,+ nawe kwa ujeuri unaendelea kupata mapato+ ya wenzako kwa upunjaji,+ nawe umenisahau mimi,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.
25 “Ukiwakopesha watu wangu pesa, mwenye kuteseka aliye kando yako,+ usiwe kwake kama mla-riba. Msimtoze faida.+
36 Usichukue faida na riba kutoka kwake,+ lakini umwogope Mungu wako;+ naye ndugu yako ataendelea kukaa akiwa hai pamoja nawe.
19 “Usimfanye ndugu yako alipe faida,+ faida juu ya pesa, faida juu ya chakula,+ faida juu ya kitu chochote ambacho mtu anaweza kudai faida.
5 Pesa zake hakutoa ili apate faida,+Wala hakuchukua rushwa dhidi ya mtu asiye na hatia.+Yeye anayefanya mambo hayo hatatikiswa.+
12 Wamechukua rushwa ndani yako kwa kusudi la kumwaga damu.+ Umechukua faida na riba,+ nawe kwa ujeuri unaendelea kupata mapato+ ya wenzako kwa upunjaji,+ nawe umenisahau mimi,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.