8 naye hakuwa akitoa chochote apate faida+ wala hakuwa akichukua riba yoyote;+ naye alikuwa akiuepusha mkono wake na ukosefu wa haki;+ naye alikuwa akiitenda haki ya kweli kati ya mtu na mwenzake;+
12 Wamechukua rushwa ndani yako kwa kusudi la kumwaga damu.+ Umechukua faida na riba,+ nawe kwa ujeuri unaendelea kupata mapato+ ya wenzako kwa upunjaji,+ nawe umenisahau mimi,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.