Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 22:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Ukiwakopesha watu wangu pesa, mwenye kuteseka aliye kando yako,+ usiwe kwake kama mla-riba. Msimtoze faida.+

  • Mambo ya Walawi 25:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Usichukue faida na riba kutoka kwake,+ lakini umwogope Mungu wako;+ naye ndugu yako ataendelea kukaa akiwa hai pamoja nawe.

  • Nehemia 5:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na pia mimi, ndugu zangu na watumishi wangu tunatoa pesa na nafaka kwa mkopo kati yao. Tafadhali, tuache kukopesha kwa faida.+

  • Zaburi 15:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Pesa zake hakutoa ili apate faida,+

      Wala hakuchukua rushwa dhidi ya mtu asiye na hatia.+

      Yeye anayefanya mambo hayo hatatikiswa.+

  • Ezekieli 18:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 naye hakuwa akitoa chochote apate faida+ wala hakuwa akichukua riba yoyote;+ naye alikuwa akiuepusha mkono wake na ukosefu wa haki;+ naye alikuwa akiitenda haki ya kweli kati ya mtu na mwenzake;+

  • Ezekieli 22:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wamechukua rushwa ndani yako kwa kusudi la kumwaga damu.+ Umechukua faida na riba,+ nawe kwa ujeuri unaendelea kupata mapato+ ya wenzako kwa upunjaji,+ nawe umenisahau mimi,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki