Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Usikubali rushwa, kwa maana rushwa hupofusha watu wanaoona vizuri na inaweza kupotosha maneno ya watu waadilifu.+

  • Kumbukumbu la Torati 16:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Usipotoshe hukumu.+ Usipendelee+ wala kukubali rushwa, kwa maana rushwa hupofusha macho ya wenye hekima+ na hupotoa maneno ya waadilifu.

  • Kumbukumbu la Torati 27:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “‘Amelaaniwa yule ambaye hukubali rushwa ili kuipiga na kuiua nafsi, wakati ambapo hiyo ni damu isiyo na hatia.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)

  • Zaburi 26:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Usiiondoe nafsi yangu pamoja na watenda-dhambi,+

      Wala uhai wangu pamoja na watu wenye hatia ya damu,+

  • Isaya 1:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Wakuu wako ni wakaidi na rafiki za wezi.+ Kila mmoja wao ni mwenye kupenda rushwa+ na mwenye kufuatilia zawadi.+ Hawamtendei hukumu mvulana asiye na baba; na hata kesi ya mjane haiwafikii.+

  • Amosi 5:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana nimejua hesabu za maasi+ yenu na jinsi dhambi zenu zilivyo kubwa,+ enyi mnaomwonyesha mtu mwadilifu uadui,+ ninyi mnaochukua pesa za hongo,+ na ambao mmewafukuza watu maskini+ langoni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki