Isaya 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Yehova mwenyewe ataingia katika hukumu pamoja na wazee wa watu wake na wakuu wao.+ “Nanyi wenyewe mmeliteketeza kwa moto shamba la mizabibu. Vitu vilivyochukuliwa kwa unyang’anyi kutoka kwa mwenye kuteseka vimo ndani ya nyumba zenu.+ Mika 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Tafadhali sikieni hili, ninyi vichwa vya nyumba ya Yakobo nanyi viongozi wa nyumba ya Israeli,+ mnaochukia haki na mnaopotoa hata kila kitu ambacho kimenyooka;+
14 Yehova mwenyewe ataingia katika hukumu pamoja na wazee wa watu wake na wakuu wao.+ “Nanyi wenyewe mmeliteketeza kwa moto shamba la mizabibu. Vitu vilivyochukuliwa kwa unyang’anyi kutoka kwa mwenye kuteseka vimo ndani ya nyumba zenu.+
9 Tafadhali sikieni hili, ninyi vichwa vya nyumba ya Yakobo nanyi viongozi wa nyumba ya Israeli,+ mnaochukia haki na mnaopotoa hata kila kitu ambacho kimenyooka;+