Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 12:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wachungaji+ wengi wameliharibu shamba langu la mizabibu;+ wamelikanyaga fungu langu.+ Fungu langu linalotamanika+ wameligeuza kuwa nyika ya mahame yenye ukiwa.

  • Luka 12:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Lakini yule ambaye hakuelewa+ na kwa hiyo akafanya mambo yanayostahili mapigo atapigwa machache.+ Kwa kweli, kila mtu ambaye alipewa mengi, atadaiwa+ mengi; na yule ambaye watu wamemweka asimamie mengi, watamdai mengi zaidi kutoka kwake kuliko ilivyo kawaida.+

  • Yakobo 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Si wengi kati yenu wanaopaswa kuwa walimu,+ ndugu zangu, mkijua kwamba tutapokea hukumu nzito zaidi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki