Yeremia 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nami mwenyewe nimesema, ‘Lo! jinsi nilivyokuweka kati ya wana na kukupa nchi yenye kutamanika,+ fungu la urithi la pambo la majeshi ya mataifa!’ Nami nikasema tena, Ninyi mtaniita ‘ “Baba yangu!”+ nanyi hamtarudi mwache kunifuata.’
19 Nami mwenyewe nimesema, ‘Lo! jinsi nilivyokuweka kati ya wana na kukupa nchi yenye kutamanika,+ fungu la urithi la pambo la majeshi ya mataifa!’ Nami nikasema tena, Ninyi mtaniita ‘ “Baba yangu!”+ nanyi hamtarudi mwache kunifuata.’