Zaburi 106:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Nao wakaichukia nchi yenye kutamanika;+Hawakuwa na imani katika neno lake.+ Ezekieli 20:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Katika siku hiyo niliuinua mkono+ katika kiapo kwao ili kuwatoa katika nchi ya Misri mpaka katika nchi niliyokuwa nimeipeleleza kwa ajili yao, yenye kutiririka maziwa na asali.+ Hiyo ilikuwa ni pambo la nchi zote.+
6 Katika siku hiyo niliuinua mkono+ katika kiapo kwao ili kuwatoa katika nchi ya Misri mpaka katika nchi niliyokuwa nimeipeleleza kwa ajili yao, yenye kutiririka maziwa na asali.+ Hiyo ilikuwa ni pambo la nchi zote.+