9 Na katika moja ya hizo ikatoka pembe nyingine ndogo,+ nayo ikaendelea kuwa kubwa zaidi kuelekea upande wa kusini na kuelekea mashariki na kuelekea lile Pambo.+
41 Pia ataingia+ katika nchi ya lile Pambo,+ na kutakuwako nchi nyingi zitakazokwazwa.+ Lakini hizi ndizo zitakazoponyoka mkononi mwake, Edomu na Moabu+ na ile sehemu kuu ya wana wa Amoni.
14 ‘Ndipo nikawatupa kama tufani kotekote katika mataifa+ yote ambayo hawakuyajua;+ nayo nchi imeachwa ukiwa nyuma yao, bila kuwa na mtu yeyote anayepita kati yake wala anayerudi;+ nao wakaifanya nchi yenye kutamanika+ kuwa kitu cha kushangaza.’ ”