Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 48:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wenye ukuu wa kupendeza, shangwe ya dunia yote,+

      Ni Mlima Sayuni ulioko sehemu za mbali za kaskazini,+

      Mji wa Mfalme Mkuu.+

  • Isaya 4:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Katika siku hiyo kile ambacho Yehova anachipusha+ kitakuwa kwa ajili ya pambo na kwa ajili ya utukufu,+ na mazao ya nchi yatakuwa kitu cha kujivunia+ na kitu kizuri kwa ajili ya wale wa Israeli walioponyoka.+

  • Isaya 28:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Katika siku hiyo Yehova wa majeshi atakuwa kama taji la pambo+ na kama shada la urembo+ kwa wale wanaobaki+ kati ya watu wake,

  • Ezekieli 20:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Katika siku hiyo niliuinua mkono+ katika kiapo kwao ili kuwatoa katika nchi ya Misri mpaka katika nchi niliyokuwa nimeipeleleza kwa ajili yao, yenye kutiririka maziwa na asali.+ Hiyo ilikuwa ni pambo la nchi zote.+

  • Danieli 11:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na yule anayekuja kupigana naye atafanya kulingana na mapenzi yake, wala hakuna atakayesimama mbele yake. Naye atasimama katika nchi ya lile Pambo,+ na maangamizi yatakuwa mkononi mwake.+

  • Danieli 11:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Naye atasimamisha mahema yake makubwa kati ya ile bahari kuu na mlima mtakatifu wa lile Pambo;+ naye ataenda mpaka mwisho wake,+ wala hatakuwa na wa kumsaidia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki