Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 10:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na itatukia hakika katika siku hiyo kwamba yale mabaki ya Israeli+ na wale walioponyoka wa nyumba ya Yakobo hawatamtegemea tena kamwe yule anayewapiga,+ nao hakika watamtegemea Yehova, Mtakatifu wa Israeli,+ katika ukweli.+

  • Isaya 66:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Nami nitatia ishara katikati yao,+ nami nitawapeleka baadhi ya wale walioponyoka kwenda kwenye mataifa,+ Tarshishi,+ Pulu, na Ludi,+ wale wanaouvuta upinde, Tubali na Yavani,+ visiwa vilivyo mbali,+ ambao hawajasikia habari kunihusu mimi wala kuuona utukufu wangu;+ nao hakika watatangaza juu ya utukufu wangu kati ya mataifa.+

  • Yeremia 44:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na hakutakuwa na yeyote mwenye kuponyoka wala mwenye kuokoka kwa mabaki wa Yuda wanaoingia ili kukaa humo wakiwa wageni, katika nchi ya Misri,+ wa kurudi katika nchi ya Yuda ambayo wanaitamani kwa nafsi yao ili warudi kukaa humo;+ kwa maana hawatarudi, ila tu watu fulani walioponyoka.’”

  • Ezekieli 7:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na watu wao walioponyoka hakika wataponyoka+ na kuwa kama njiwa wa mabondeni juu ya milima,+ ambao wote wanaomboleza, kila mmoja katika kosa lake mwenyewe.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki