Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 6:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nao wana wa Israeli, makuhani na Walawi+ na wengineo wa waliokuwa wahamishwa wa hapo zamani+ wakaizindua+ nyumba hii ya Mungu kwa shangwe.

  • Isaya 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kama Yehova wa majeshi hangalituachia waokokaji wachache tu,+ tungalikuwa kama Sodoma, tungalifanana na Gomora.+

  • Ezekieli 37:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Nawe uwaambie, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Tazama, ninawachukua wana wa Israeli kutoka katikati ya mataifa ambako wameenda, nami nitawakusanya kutoka pande zote na kuwaleta katika nchi yao.+

  • Waroma 9:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Zaidi ya hayo, Isaya anapaaza sauti kuhusu Israeli: “Ijapokuwa hesabu ya wana wa Israeli huenda ikawa kama mchanga wa bahari,+ ni mabaki watakaookolewa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki