15 Ndivyo alivyompeleka Yehoyakini+ uhamishoni Babiloni;+ na mama+ ya mfalme na wake za mfalme na maofisa wake wa makao+ ya mfalme na watu wa kwanza kabisa wa nchi akawapeleka wakiwa watu waliohamishwa kutoka Yerusalemu mpaka Babiloni.
2 Ndipo Hanani,+ mmoja wa ndugu zangu, akaingia, yeye pamoja na watu wengine kutoka Yuda, nami nikawauliza+ habari za Wayahudi,+ wale walioponyoka,+ mabaki ya wale mateka,+ na pia habari za Yerusalemu.