Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 24:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ndivyo alivyompeleka Yehoyakini+ uhamishoni Babiloni;+ na mama+ ya mfalme na wake za mfalme na maofisa wake wa makao+ ya mfalme na watu wa kwanza kabisa wa nchi akawapeleka wakiwa watu waliohamishwa kutoka Yerusalemu mpaka Babiloni.

  • Ezra 4:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Adui+ za Yuda na Benyamini waliposikia kwamba wana wa Uhamisho+ wanamjengea Yehova Mungu wa Israeli hekalu,

  • Nehemia 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ndipo Hanani,+ mmoja wa ndugu zangu, akaingia, yeye pamoja na watu wengine kutoka Yuda, nami nikawauliza+ habari za Wayahudi,+ wale walioponyoka,+ mabaki ya wale mateka,+ na pia habari za Yerusalemu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki