31 Mwishowe ikawa kwamba katika mwaka wa 37 wa uhamisho wa Yehoyakini+ mfalme wa Yuda, katika mwezi wa 12, katika siku ya 25 ya mwezi huo, Evil-merodaki mfalme wa Babiloni, katika mwaka wa kuwa kwake mfalme, akakiinua kichwa+ cha Yehoyakini mfalme wa Yuda na kumtoa katika nyumba ya gereza.