Mwanzo 40:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi siku ya tatu ilikuwa sikukuu ya kuzaliwa kwa Farao,+ naye akawafanyia karamu watumishi wake wote na kukiinua kichwa cha mkuu wa wanyweshaji na kichwa cha mkuu wa waokaji katikati ya watumishi wake.+
20 Basi siku ya tatu ilikuwa sikukuu ya kuzaliwa kwa Farao,+ naye akawafanyia karamu watumishi wake wote na kukiinua kichwa cha mkuu wa wanyweshaji na kichwa cha mkuu wa waokaji katikati ya watumishi wake.+