Mwanzo 40:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Baada ya siku tatu Farao atakiinua kichwa chako naye atakurudisha katika cheo chako;+ nawe bila shaka utampa Farao kikombe mkononi mwake, kulingana na desturi ya zamani ulipokuwa mnyweshaji wake.+
13 Baada ya siku tatu Farao atakiinua kichwa chako naye atakurudisha katika cheo chako;+ nawe bila shaka utampa Farao kikombe mkononi mwake, kulingana na desturi ya zamani ulipokuwa mnyweshaji wake.+