Mwanzo 40:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Siku tatu kuanzia leo, Farao atakutoa gerezani* na kukurudisha kwenye cheo chako,+ nawe utaendelea kuweka kikombe cha Farao mkononi mwake kama ulivyokuwa ukifanya ulipokuwa msimamizi wake wa vinywaji.+
13 Siku tatu kuanzia leo, Farao atakutoa gerezani* na kukurudisha kwenye cheo chako,+ nawe utaendelea kuweka kikombe cha Farao mkononi mwake kama ulivyokuwa ukifanya ulipokuwa msimamizi wake wa vinywaji.+