12 Humo gerezani tulikuwa pamoja na kijana Mwebrania, mtumishi wa mkuu wa walinzi.+ Tulipomsimulia ndoto zetu,+ alitueleza maana ya kila ndoto. 13 Mambo yote yalitimia kama alivyotuambia. Nilirudishwa katika cheo changu, lakini yule mwingine alitundikwa mtini.”+