Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 24:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mwishowe Yehoyakimu akalala pamoja na mababu zake,+ na Yehoyakini mwana wake akaanza kutawala mahali pake.

  • 1 Mambo ya Nyakati 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na wana wa Yehoyakimu walikuwa Yekonia+ mwana wake, Sedekia mwana wake.

  • Yeremia 22:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Je, mtu huyu Konia+ ni umbo tu lililodharauliwa, lililovunjwa vipande-vipande,+ au ni chombo ambacho hakipendezi?+ Kwa nini yeye na uzao wake ni lazima waangushwe chini na kutupwa katika nchi ambayo hawakuijua?’+

  • Yeremia 37:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Na Mfalme Sedekia+ mwana wa Yosia+ akaanza kutawala mahali pa Konia+ mwana wa Yehoyakimu,+ ambaye Nebukadreza mfalme wa Babiloni alimfanya kuwa mfalme katika nchi ya Yuda.+

  • Mathayo 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yosia+ akamzaa Yekonia+ na ndugu zake wakati wa ule uhamisho wa kwenda Babiloni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki