1 Mambo ya Nyakati 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na wana wa Yosia walikuwa Yohanani mzaliwa wa kwanza, Yehoyakimu+ wa pili, Sedekia+ wa tatu, Shalumu wa nne. 1 Mambo ya Nyakati 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na wana wa Yehoyakimu walikuwa Yekonia+ mwana wake, Sedekia mwana wake. Yeremia 28:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “‘Na Yekonia+ mwana wa Yehoyakimu,+ mfalme wa Yuda, pamoja na wahamishwa wote wa Yuda ambao wameenda Babiloni+ nitawarudisha tena mahali hapa,’ asema Yehova, ‘kwa maana nitaivunja nira+ ya mfalme wa Babiloni.’”
15 Na wana wa Yosia walikuwa Yohanani mzaliwa wa kwanza, Yehoyakimu+ wa pili, Sedekia+ wa tatu, Shalumu wa nne.
4 “‘Na Yekonia+ mwana wa Yehoyakimu,+ mfalme wa Yuda, pamoja na wahamishwa wote wa Yuda ambao wameenda Babiloni+ nitawarudisha tena mahali hapa,’ asema Yehova, ‘kwa maana nitaivunja nira+ ya mfalme wa Babiloni.’”