Yeremia 28:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “‘Nami nitamrudisha mahali hapa Yekonia+ mwana wa Yehoyakimu,+ mfalme wa Yuda, na watu wote wa Yuda waliohamishwa na kupelekwa Babiloni,’+ asema Yehova, ‘kwa maana nitaivunja nira ya mfalme wa Babiloni.’”
4 “‘Nami nitamrudisha mahali hapa Yekonia+ mwana wa Yehoyakimu,+ mfalme wa Yuda, na watu wote wa Yuda waliohamishwa na kupelekwa Babiloni,’+ asema Yehova, ‘kwa maana nitaivunja nira ya mfalme wa Babiloni.’”