2 Mambo ya Nyakati 36:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nebukadneza+ mfalme wa Babiloni akapanda+ kuja kumshambulia ili amfunge kwa pingu mbili za shaba apate kumchukua mpaka Babiloni.+ Yeremia 22:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Atazikwa kwa maziko ya punda-dume,+ kwa kukokotwa na kutupwa, nje ya malango ya Yerusalemu.’+ Yeremia 36:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kwa hiyo Yehova amesema hivi juu ya Yehoyakimu mfalme wa Yuda, ‘Hatakuwa na mtu yeyote anayeketi juu ya kiti cha ufalme cha Daudi,+ na maiti yake itakuwa kitu kilichotupwa nje+ kwenye joto wakati wa mchana na kwenye baridi kali wakati wa usiku.
6 Nebukadneza+ mfalme wa Babiloni akapanda+ kuja kumshambulia ili amfunge kwa pingu mbili za shaba apate kumchukua mpaka Babiloni.+
30 Kwa hiyo Yehova amesema hivi juu ya Yehoyakimu mfalme wa Yuda, ‘Hatakuwa na mtu yeyote anayeketi juu ya kiti cha ufalme cha Daudi,+ na maiti yake itakuwa kitu kilichotupwa nje+ kwenye joto wakati wa mchana na kwenye baridi kali wakati wa usiku.