Yeremia 36:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kwa hiyo Yehova anasema hivi dhidi ya Mfalme Yehoyakimu wa Yuda, ‘Hatakuwa na mtu yeyote atakayeketi kwenye kiti cha ufalme cha Daudi,+ na maiti yake itaachwa nje kwenye joto wakati wa mchana na baridi kali wakati wa usiku.+
30 Kwa hiyo Yehova anasema hivi dhidi ya Mfalme Yehoyakimu wa Yuda, ‘Hatakuwa na mtu yeyote atakayeketi kwenye kiti cha ufalme cha Daudi,+ na maiti yake itaachwa nje kwenye joto wakati wa mchana na baridi kali wakati wa usiku.+