-
2 Mambo ya Nyakati 36:9, 10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
9 Yehoyakini+ alikuwa na umri wa miaka 18 alipoanza kutawala, alitawala kwa miezi mitatu na siku kumi huko Yerusalemu; naye aliendelea kutenda maovu machoni pa Yehova.+ 10 Mwanzoni mwa mwaka,* Mfalme Nebukadneza aliagiza aletwe Babiloni,+ pamoja na vyombo vyenye thamani vya nyumba ya Yehova.+ Akamweka Sedekia ndugu ya baba yake kuwa mfalme wa Yuda na Yerusalemu.+
-
-
Yeremia 22:30Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
30 Yehova anasema hivi:
-