2 Wafalme 24:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kisha Yehoyakimu akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake;+ na Yehoyakini mwanawe akawa mfalme baada yake. Yeremia 22:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Je, mtu huyu Konia ni chungu tu kilichodharauliwa na kuvunjika,Chombo ambacho hakuna mtu anayekitaka? Kwa nini yeye na wazao wake wameangushwa chiniNa kutupwa katika nchi wasiyoijua?’+ Yeremia 37:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Na Mfalme Sedekia+ mwana wa Yosia akaanza kutawala baada ya Konia*+ mwana wa Yehoyakimu, kwa maana Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni alikuwa amemweka kuwa mfalme katika nchi ya Yuda.+ Mathayo 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yosia+ akawa baba ya Yekonia+ na ndugu zake, wakati wa kupelekwa uhamishoni Babiloni.+
6 Kisha Yehoyakimu akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake;+ na Yehoyakini mwanawe akawa mfalme baada yake.
28 Je, mtu huyu Konia ni chungu tu kilichodharauliwa na kuvunjika,Chombo ambacho hakuna mtu anayekitaka? Kwa nini yeye na wazao wake wameangushwa chiniNa kutupwa katika nchi wasiyoijua?’+
37 Na Mfalme Sedekia+ mwana wa Yosia akaanza kutawala baada ya Konia*+ mwana wa Yehoyakimu, kwa maana Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni alikuwa amemweka kuwa mfalme katika nchi ya Yuda.+