-
2 Mambo ya Nyakati 36:10-12Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
10 Mwanzoni mwa mwaka,* Mfalme Nebukadneza aliagiza aletwe Babiloni,+ pamoja na vyombo vyenye thamani vya nyumba ya Yehova.+ Akamweka Sedekia ndugu ya baba yake kuwa mfalme wa Yuda na Yerusalemu.+
11 Sedekia+ alikuwa na umri wa miaka 21 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 11 huko Yerusalemu.+ 12 Aliendelea kutenda maovu machoni pa Yehova Mungu wake. Hakujinyenyekeza mbele ya nabii Yeremia,+ aliyesema mambo aliyoagizwa na Yehova.
-