Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 24:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wakati huo watumishi wa Mfalme Nebukadneza wa Babiloni walipanda kwenda kushambulia Yerusalemu, wakalizingira jiji hilo.+

  • Yeremia 29:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Haya ndiyo maneno ya barua ambayo nabii Yeremia aliwatumia kutoka Yerusalemu wazee waliobaki miongoni mwa watu waliopelekwa uhamishoni, makuhani, manabii, na watu wote, ambao Nebukadneza alikuwa amewatoa Yerusalemu na kuwapeleka uhamishoni Babiloni, 2 baada ya Mfalme Yekonia+ na mama malkia,+ maofisa wa makao ya mfalme, wakuu wa Yuda na Yerusalemu, na mafundi na wahunzi* kuondoka Yerusalemu.+

  • Ezekieli 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Katika siku ya tano ya mwezi huo—yaani, katika mwaka wa tano wa uhamisho wa mfalme Yehoyakini+—

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki