-
Yeremia 27:17, 18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
17 Msiwasikilize. Mtumikieni mfalme wa Babiloni nanyi mtaendelea kuishi.+ Kwa nini jiji hili liwe magofu? 18 Lakini ikiwa wao ni manabii na ikiwa wana neno la Yehova, tafadhali acheni wamwombe Yehova wa majeshi kwamba vyombo vilivyobaki katika nyumba ya Yehova, katika nyumba ya* mfalme wa Yuda, na Yerusalemu visipelekwe Babiloni.’
-