Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 7:48-50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Sulemani alivitengeneza vitu vyote vya nyumba ya Yehova: madhabahu+ ya dhahabu; meza ya dhahabu+ ya kuwekea mikate ya wonyesho; 49 vinara vya taa+ vya dhahabu safi, vitano upande wa kulia na vitano upande wa kushoto mbele ya chumba cha ndani zaidi; na maua,+ taa, na koleo, vyote vya dhahabu;+ 50 mabeseni, mikasi ya kukatia tambi za taa,+ mabakuli, vikombe,+ na vyetezo,+ vyote vya dhahabu safi; na bawaba za milango ya nyumba ya ndani,+ yaani, Patakatifu Zaidi, na za milango ya nyumba ya hekalu,+ vyote vya dhahabu.

  • Ezra 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Pia, Mfalme Koreshi akaleta vyombo vya nyumba ya Yehova ambavyo Nebukadneza alikuwa amechukua huko Yerusalemu na kuviweka katika nyumba ya mungu wake.+

  • Danieli 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Alipokuwa amelewa, Belshaza akaagiza vyombo vya dhahabu na vya fedha ambavyo Nebukadneza baba yake alikuwa amevichukua kutoka katika hekalu la Yerusalemu viletwe,+ ili avitumie kunywea divai pamoja na wakuu wake, masuria wake, na wake zake wadogo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki