17 Halafu akatengeneza kinara cha taa kwa dhahabu safi.+ Alikitengeneza kinara hicho cha taa kwa nyundo. Sehemu yake ya chini, shina lake, matawi yake, vikombe vyake, matumba yake, na maua yake yalitengenezwa kwa kipande kimoja cha dhahabu.+
20 Kuhusu siri takatifu ya zile nyota saba ulizoona kwenye mkono wangu wa kuume, na ya vile vinara saba vya taa vya dhahabu: Zile nyota saba zinamaanisha wale malaika wa yale makutaniko saba, na vile vinara saba vya taa vinamaanisha yale makutaniko saba.+