Mathayo 5:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Vivyo hivyo, acheni nuru yenu iangaze mbele ya watu,+ ili waone matendo yenu mema+ na kumtukuza Baba yenu aliye mbinguni.+ Wafilipi 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 ili mje kuwa bila lawama wala hatia, watoto wa Mungu+ wasio na dosari katikati ya kizazi kilicho kombo na kilichopotoka,+ ambao kati yao mnaangaza kama mianga katika ulimwengu,+
16 Vivyo hivyo, acheni nuru yenu iangaze mbele ya watu,+ ili waone matendo yenu mema+ na kumtukuza Baba yenu aliye mbinguni.+
15 ili mje kuwa bila lawama wala hatia, watoto wa Mungu+ wasio na dosari katikati ya kizazi kilicho kombo na kilichopotoka,+ ambao kati yao mnaangaza kama mianga katika ulimwengu,+