Yeremia 22:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “‘Kwa hakika kama ninavyoishi,’ asema Yehova, ‘hata kama Konia*+ mwana wa Yehoyakimu,+ mfalme wa Yuda, angekuwa pete ya muhuri kwenye mkono wangu wa kuume, ningekung’oa kutoka hapo! Mathayo 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Baada ya kupelekwa uhamishoni Babiloni, Yekonia akawa baba ya Shealtieli; Shealtieli akawa baba ya Zerubabeli;+
24 “‘Kwa hakika kama ninavyoishi,’ asema Yehova, ‘hata kama Konia*+ mwana wa Yehoyakimu,+ mfalme wa Yuda, angekuwa pete ya muhuri kwenye mkono wangu wa kuume, ningekung’oa kutoka hapo!
12 Baada ya kupelekwa uhamishoni Babiloni, Yekonia akawa baba ya Shealtieli; Shealtieli akawa baba ya Zerubabeli;+