-
Yeremia 22:24, 25Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
24 “‘Kwa hakika kama ninavyoishi,’ asema Yehova, ‘hata kama Konia*+ mwana wa Yehoyakimu,+ mfalme wa Yuda, angekuwa pete ya muhuri kwenye mkono wangu wa kuume, ningekung’oa kutoka hapo! 25 Nami nitakutia mkononi mwa wale wanaotaka kukuua,* mkononi mwa wale unaowaogopa, mkononi mwa Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni, na mkononi mwa Wakaldayo.+
-