30 Yehova amesema hivi, ‘Andikeni kwamba mtu huyu hana mtoto,+ kama mwanamume ambaye hatafanikiwa kwa vyovyote katika siku zake; kwa maana hakuna hata mmoja atakayefanikiwa kwa vyovyote kutoka kwa uzao wake,+ mwenye kuketi juu ya kiti cha ufalme cha Daudi+ na kutawala tena katika Yuda.’”