2 baada ya Yekonia+ mfalme na malkia+ na maofisa wa makao ya mfalme, wakuu wa Yuda na Yerusalemu,+ na mafundi na wajenzi wa maboma+ kwenda kutoka katika Yerusalemu.
9 Mwishowe wakamweka katika tundu kwa kulabu na kumleta kwa mfalme wa Babiloni.+ Wakamleta kwa kutumia nyavu za kuwindia, ili sauti yake isisikiwe tena katika milima ya Israeli.+