2 Wafalme 24:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mwishowe Yehoyakini mfalme wa Yuda akatoka kumwendea mfalme wa Babiloni,+ yeye pamoja na mama+ yake na watumishi wake na wakuu wake na maofisa wake wa makao ya mfalme; na mfalme wa Babiloni akamchukua katika mwaka wake wa nane+ wa kuwa mfalme. Yeremia 22:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Nami nitakutupa wewe pamoja na mama yako+ aliyekuzaa mwende katika nchi nyingine ambayo hamkuzaliwa huko, nanyi mtakufa huko.+
12 Mwishowe Yehoyakini mfalme wa Yuda akatoka kumwendea mfalme wa Babiloni,+ yeye pamoja na mama+ yake na watumishi wake na wakuu wake na maofisa wake wa makao ya mfalme; na mfalme wa Babiloni akamchukua katika mwaka wake wa nane+ wa kuwa mfalme.
26 Nami nitakutupa wewe pamoja na mama yako+ aliyekuzaa mwende katika nchi nyingine ambayo hamkuzaliwa huko, nanyi mtakufa huko.+