Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 36:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na mwanzoni+ mwa mwaka Mfalme Nebukadneza akatuma watu,+ akamleta Babiloni+ pamoja na vyombo vyenye kutamanika vya nyumba ya Yehova.+ Tena akamfanya Sedekia+ ndugu ya baba yake kuwa mfalme juu ya Yuda na Yerusalemu.+

  • Yeremia 24:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Na Yehova akanionyesha, na, tazama! vikapu viwili vya tini vilivyowekwa mbele ya hekalu la Yehova, baada ya Nebukadreza mfalme wa Babiloni kumpeleka uhamishoni Yekonia+ mwana wa Yehoyakimu,+ mfalme wa Yuda, na wakuu wa Yuda na mafundi+ na wajenzi wa maboma, kutoka Yerusalemu ili awalete Babiloni.+

  • Ezekieli 17:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Iambie, tafadhali, nyumba yenye kuasi,+ ‘Je, ninyi kwa kweli hamjui maana ya mambo haya?’ Sema, ‘Tazama! Mfalme wa Babiloni alikuja Yerusalemu, akamchukua mfalme wake+ na wakuu wake na kuwaleta Babiloni kwa ajili yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki