12 Mwishowe Yehoyakini mfalme wa Yuda akatoka kumwendea mfalme wa Babiloni,+ yeye pamoja na mama+ yake na watumishi wake na wakuu wake na maofisa wake wa makao ya mfalme; na mfalme wa Babiloni akamchukua katika mwaka wake wa nane+ wa kuwa mfalme.
25 Nami nitakutia wewe katika mkono wa wale wanaoitafuta nafsi yako+ na katika mkono wa wale unaoogopa na katika mkono wa Nebukadreza mfalme wa Babiloni na katika mkono wa Wakaldayo.+