Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 24:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na Nebukadneza mfalme wa Babiloni akaja juu ya jiji hilo, watumishi wake walipokuwa wanalizingira.+

  • 2 Wafalme 24:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa habari ya wale wanaume mashujaa wote, elfu saba, na mafundi na wajenzi wa maboma, elfu moja, wanaume wote wenye nguvu wenye kupigana vita, mfalme wa Babiloni aliwapeleka uhamishoni mpaka Babiloni.+

  • Ezra 5:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Hata hivyo, kwa sababu baba zetu walimkasirisha+ Mungu wa mbinguni, aliwatia+ mkononi mwa Nebukadneza+ mfalme wa Babiloni, Mkaldayo,+ naye akaibomoa nyumba hii+ na kuwapeleka watu uhamishoni huko Babiloni.+

  • Methali 10:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kitu chenye kumwogopesha mwovu—hicho ndicho kitakachompata;+ lakini tamaa ya mwadilifu itatimizwa.+

  • Yeremia 24:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Na Yehova akanionyesha, na, tazama! vikapu viwili vya tini vilivyowekwa mbele ya hekalu la Yehova, baada ya Nebukadreza mfalme wa Babiloni kumpeleka uhamishoni Yekonia+ mwana wa Yehoyakimu,+ mfalme wa Yuda, na wakuu wa Yuda na mafundi+ na wajenzi wa maboma, kutoka Yerusalemu ili awalete Babiloni.+

  • Yeremia 27:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 ambavyo Nebukadneza mfalme wa Babiloni hakuchukua alipompeleka uhamishoni Yekonia+ mwana wa Yehoyakimu, mfalme wa Yuda, kutoka Yerusalemu kwenda Babiloni, pamoja na watu wote wenye vyeo wa Yuda na Yerusalemu;+

  • Yeremia 29:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 baada ya Yekonia+ mfalme na malkia+ na maofisa wa makao ya mfalme, wakuu wa Yuda na Yerusalemu,+ na mafundi na wajenzi wa maboma+ kwenda kutoka katika Yerusalemu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki