Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 24:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye akapeleka uhamishoni+ Yerusalemu yote na wakuu+ wote na wanaume mashujaa wote, wenye nguvu+—akapeleka uhamishoni watu elfu kumi—na pia kila fundi+ na mjenzi wa maboma. Hakuna yeyote aliyeachwa nyuma isipokuwa watu wa tabaka ya chini+ wa nchi.

  • Yeremia 24:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Na Yehova akanionyesha, na, tazama! vikapu viwili vya tini vilivyowekwa mbele ya hekalu la Yehova, baada ya Nebukadreza mfalme wa Babiloni kumpeleka uhamishoni Yekonia+ mwana wa Yehoyakimu,+ mfalme wa Yuda, na wakuu wa Yuda na mafundi+ na wajenzi wa maboma, kutoka Yerusalemu ili awalete Babiloni.+

  • Yeremia 29:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Na haya ndiyo maneno ya barua ambayo Yeremia nabii alituma kutoka Yerusalemu kwa mabaki ya wanaume wazee wa watu waliohamishwa na kwa makuhani na kwa manabii na kwa watu wote, ambao Nebukadneza alikuwa amewapeleka uhamishoni kutoka Yerusalemu kwenda Babiloni+

  • Danieli 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ndipo mfalme akamwambia Ashpenazi ofisa mkuu wa makao yake ya kifalme+ awalete baadhi ya wana wa Israeli na wa uzao wa kifalme na wa watu wenye vyeo,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki