Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 24
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wafalme 24:1

Marejeo

  • +Yer 25:1; 46:2; Da 1:1; 3:1; 4:33, 37
  • +2Nya 12:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Unabii wa Danieli, kur. 31-32

  • Fahirishi ya Machapisho

    dp 31-32

2 Wafalme 24:2

Marejeo

  • +Kum 28:63; Ayu 1:17; Hab 1:6
  • +2Fa 13:20
  • +Law 26:27; Kum 28:15; 2Fa 23:27

2 Wafalme 24:3

Marejeo

  • +Law 26:33; Kum 4:26; 28:63; 2Fa 23:27
  • +2Fa 21:2, 11; 23:26

2 Wafalme 24:4

Marejeo

  • +Hes 35:33; Kum 19:10; 2Fa 21:16; Zb 106:38; Yer 2:34; 19:4; 22:17
  • +Yer 15:1; Omb 3:42; Eze 33:25

2 Wafalme 24:5

Marejeo

  • +Yer 22:18
  • +2Nya 36:8

2 Wafalme 24:6

Marejeo

  • +2Nya 36:6; Yer 22:19; 36:30

2 Wafalme 24:7

Marejeo

  • +Yer 46:2
  • +Yer 37:7
  • +Yer 37:5
  • +Mwa 15:18; Hes 34:5; Yos 15:4
  • +1Fa 4:21; Isa 27:12

2 Wafalme 24:8

Marejeo

  • +1Nya 3:16; Yer 24:1; 37:1; Mt 1:11
  • +2Nya 36:9

2 Wafalme 24:9

Marejeo

  • +2Fa 21:3, 6

2 Wafalme 24:10

Marejeo

  • +Da 1:1

2 Wafalme 24:11

Marejeo

  • +2Fa 25:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Amkeni!,

    11/2007, uku. 16

    “Kila Andiko,” kur. 132-133

    Neno la Mungu, uku. 48

    Mnara wa Mlinzi,

    3/1/1988, uku. 29

  • Fahirishi ya Machapisho

    g 11/07 16

2 Wafalme 24:12

Marejeo

  • +2Nya 36:10; Yer 24:1; Eze 17:12
  • +Yer 29:2
  • +Yer 25:1; 52:28

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Neno la Mungu, uku. 48

    Mnara wa Mlinzi,

    3/1/1988, uku. 29

2 Wafalme 24:13

Marejeo

  • +2Fa 20:13, 17; Isa 39:6
  • +1Fa 7:48; 2Nya 4:7; 36:10; Ezr 1:7; Yer 28:3; Da 5:2

2 Wafalme 24:14

Marejeo

  • +Eze 1:2
  • +Ne 9:32
  • +Est 2:6; Eze 1:2; Da 1:6
  • +Yer 24:1
  • +2Fa 25:12

2 Wafalme 24:15

Marejeo

  • +2Fa 25:27; 1Nya 3:17; Yer 22:24; 52:31
  • +2Nya 36:10; Est 2:6; Yer 22:25
  • +2Fa 24:12
  • +Yer 29:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/1/1988, uku. 29

2 Wafalme 24:16

Marejeo

  • +Yer 52:28

2 Wafalme 24:17

Marejeo

  • +Yer 37:1
  • +1Nya 3:15
  • +2Nya 36:10; Yer 52:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/1/1988, uku. 29

2 Wafalme 24:18

Marejeo

  • +2Nya 36:11
  • +2Fa 23:31

2 Wafalme 24:19

Marejeo

  • +2Fa 23:37; 2Nya 36:12; Yer 24:8; 37:2; 38:5; Eze 21:25

2 Wafalme 24:20

Marejeo

  • +Kum 4:24; 2Fa 22:17; 23:26
  • +2Fa 23:27
  • +2Nya 36:13; Yer 27:12; 38:17; Eze 17:15

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Fal. 24:1Yer 25:1; 46:2; Da 1:1; 3:1; 4:33, 37
2 Fal. 24:12Nya 12:8
2 Fal. 24:2Kum 28:63; Ayu 1:17; Hab 1:6
2 Fal. 24:22Fa 13:20
2 Fal. 24:2Law 26:27; Kum 28:15; 2Fa 23:27
2 Fal. 24:3Law 26:33; Kum 4:26; 28:63; 2Fa 23:27
2 Fal. 24:32Fa 21:2, 11; 23:26
2 Fal. 24:4Hes 35:33; Kum 19:10; 2Fa 21:16; Zb 106:38; Yer 2:34; 19:4; 22:17
2 Fal. 24:4Yer 15:1; Omb 3:42; Eze 33:25
2 Fal. 24:5Yer 22:18
2 Fal. 24:52Nya 36:8
2 Fal. 24:62Nya 36:6; Yer 22:19; 36:30
2 Fal. 24:7Yer 46:2
2 Fal. 24:7Yer 37:7
2 Fal. 24:7Yer 37:5
2 Fal. 24:7Mwa 15:18; Hes 34:5; Yos 15:4
2 Fal. 24:71Fa 4:21; Isa 27:12
2 Fal. 24:81Nya 3:16; Yer 24:1; 37:1; Mt 1:11
2 Fal. 24:82Nya 36:9
2 Fal. 24:92Fa 21:3, 6
2 Fal. 24:10Da 1:1
2 Fal. 24:112Fa 25:2
2 Fal. 24:122Nya 36:10; Yer 24:1; Eze 17:12
2 Fal. 24:12Yer 29:2
2 Fal. 24:12Yer 25:1; 52:28
2 Fal. 24:132Fa 20:13, 17; Isa 39:6
2 Fal. 24:131Fa 7:48; 2Nya 4:7; 36:10; Ezr 1:7; Yer 28:3; Da 5:2
2 Fal. 24:14Eze 1:2
2 Fal. 24:14Ne 9:32
2 Fal. 24:14Est 2:6; Eze 1:2; Da 1:6
2 Fal. 24:14Yer 24:1
2 Fal. 24:142Fa 25:12
2 Fal. 24:152Fa 25:27; 1Nya 3:17; Yer 22:24; 52:31
2 Fal. 24:152Nya 36:10; Est 2:6; Yer 22:25
2 Fal. 24:152Fa 24:12
2 Fal. 24:15Yer 29:2
2 Fal. 24:16Yer 52:28
2 Fal. 24:17Yer 37:1
2 Fal. 24:171Nya 3:15
2 Fal. 24:172Nya 36:10; Yer 52:1
2 Fal. 24:182Nya 36:11
2 Fal. 24:182Fa 23:31
2 Fal. 24:192Fa 23:37; 2Nya 36:12; Yer 24:8; 37:2; 38:5; Eze 21:25
2 Fal. 24:20Kum 4:24; 2Fa 22:17; 23:26
2 Fal. 24:202Fa 23:27
2 Fal. 24:202Nya 36:13; Yer 27:12; 38:17; Eze 17:15
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Wafalme 24:1-20

2 Wafalme

24 Katika siku zake Nebukadneza+ mfalme wa Babiloni akapanda, na kwa hiyo Yehoyakimu akawa mtumishi+ wake kwa miaka mitatu. Hata hivyo, yeye aligeuka na kumwasi. 2 Na Yehova akaanza kuleta juu yake vikundi vya waporaji vya Wakaldayo+ na vikundi vya waporaji vya Wasiria na vikundi vya waporaji vya Wamoabu+ na vikundi vya waporaji vya wana wa Amoni, naye akaendelea kuwaleta juu ya Yuda ili kuiangamiza, kulingana na neno la Yehova+ alilokuwa amesema kupitia watumishi wake manabii. 3 Hayo yalitendeka juu ya Yuda kwa agizo la Yehova tu, ili kuiondoa+ mbele za macho yake kwa sababu ya dhambi za Manase,+ kulingana na yote aliyokuwa ameyafanya; 4 na pia kwa sababu ya damu isiyo na hatia+ aliyokuwa amemwaga, hivi kwamba akalijaza Yerusalemu damu isiyo na hatia, na Yehova hakukubali kutoa msamaha.+

5 Na yale mambo mengine ya Yehoyakimu+ na yote aliyoyatenda, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Yuda? 6 Mwishowe Yehoyakimu akalala pamoja na mababu zake,+ na Yehoyakini mwana wake akaanza kutawala mahali pake.

7 Na mfalme wa Misri hakuja tena kamwe+ kutoka katika nchi yake,+ kwa maana mfalme wa Babiloni alikuwa amechukua vyote vilivyokuwa vya mfalme wa Misri+ kuanzia bonde la mto+ la Misri mpaka mto Efrati.+

8 Yehoyakini+ alikuwa na umri wa miaka kumi na minane alipoanza kutawala, naye akatawala miezi mitatu katika Yerusalemu.+ Na jina la mama yake lilikuwa Nehushta binti ya Elnathani wa Yerusalemu. 9 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova, kulingana na yote aliyofanya baba yake.+ 10 Wakati huo watumishi wa Nebukadneza mfalme wa Babiloni walipanda mpaka Yerusalemu, hivi kwamba jiji hilo likazingirwa.+ 11 Na Nebukadneza mfalme wa Babiloni akaja juu ya jiji hilo, watumishi wake walipokuwa wanalizingira.+

12 Mwishowe Yehoyakini mfalme wa Yuda akatoka kumwendea mfalme wa Babiloni,+ yeye pamoja na mama+ yake na watumishi wake na wakuu wake na maofisa wake wa makao ya mfalme; na mfalme wa Babiloni akamchukua katika mwaka wake wa nane+ wa kuwa mfalme. 13 Ndipo akaondoa hapo hazina zote za nyumba ya Yehova na hazina za nyumba ya mfalme,+ akakata vipande-vipande vyombo vyote vya dhahabu+ ambavyo Sulemani mfalme wa Israeli alikuwa ametengeneza katika hekalu la Yehova, kama Yehova alivyokuwa amesema. 14 Naye akapeleka uhamishoni+ Yerusalemu yote na wakuu+ wote na wanaume mashujaa wote, wenye nguvu+—akapeleka uhamishoni watu elfu kumi—na pia kila fundi+ na mjenzi wa maboma. Hakuna yeyote aliyeachwa nyuma isipokuwa watu wa tabaka ya chini+ wa nchi. 15 Ndivyo alivyompeleka Yehoyakini+ uhamishoni Babiloni;+ na mama+ ya mfalme na wake za mfalme na maofisa wake wa makao+ ya mfalme na watu wa kwanza kabisa wa nchi akawapeleka wakiwa watu waliohamishwa kutoka Yerusalemu mpaka Babiloni. 16 Kwa habari ya wale wanaume mashujaa wote, elfu saba, na mafundi na wajenzi wa maboma, elfu moja, wanaume wote wenye nguvu wenye kupigana vita, mfalme wa Babiloni aliwapeleka uhamishoni mpaka Babiloni.+ 17 Tena mfalme wa Babiloni+ akamfanya Matania ndugu ya baba yake+ kuwa mfalme mahali pake. Kisha akabadili jina lake kuwa Sedekia.+

18 Sedekia+ alikuwa na umri wa miaka 21 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 11 katika Yerusalemu. Na jina la mama yake lilikuwa Hamutali+ binti ya Yeremia kutoka Libna. 19 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova, kulingana na yote aliyokuwa amefanya Yehoyakimu.+ 20 Kwa maana hayo yalitendeka katika Yerusalemu na katika Yuda kwa sababu ya hasira+ ya Yehova, mpaka alipokuwa amewatupa kutoka mbele za macho yake.+ Na Sedekia akaanza kumwasi mfalme wa Babiloni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki