Yeremia 25:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Neno lililomjia Yeremia kuhusu watu wote wa Yuda katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, yaani, mwaka wa kwanza wa Nebukadreza mfalme wa Babiloni; Yeremia 52:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Hawa ndio watu ambao Nebukadreza alipeleka uhamishoni: katika mwaka wa 7, Wayahudi 3,023.+
25 Neno lililomjia Yeremia kuhusu watu wote wa Yuda katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, yaani, mwaka wa kwanza wa Nebukadreza mfalme wa Babiloni;