Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 24:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Katika siku zake Nebukadneza+ mfalme wa Babiloni akapanda, na kwa hiyo Yehoyakimu akawa mtumishi+ wake kwa miaka mitatu. Hata hivyo, yeye aligeuka na kumwasi.

  • Yeremia 36:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Ikawa kwamba katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, neno hili likamjia Yeremia kutoka kwa Yehova, likisema:

  • Yeremia 46:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa ajili ya Misri,+ kuhusu jeshi la Farao Neko mfalme wa Misri,+ aliyekuwa kando ya mto Efrati kule Karkemishi,+ ambaye Nebukadreza mfalme wa Babiloni alimshinda katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda:

  • Danieli 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Katika mwaka wa tatu wa ufalme wa Yehoyakimu+ mfalme wa Yuda, Nebukadneza mfalme wa Babiloni alikuja Yerusalemu na kulizingira.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki