36 Yehoyakimu+ alikuwa na umri wa miaka 25 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 11 katika Yerusalemu.+ Na jina la mama yake lilikuwa Zebida binti ya Pedaya kutoka Ruma.
5 Yehoyakimu+ alikuwa na umri wa miaka 25 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 11 katika Yerusalemu;+ naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova Mungu wake.+
25Neno lililomjia Yeremia kuhusu watu wote wa Yuda katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, yaani, mwaka wa kwanza wa Nebukadreza mfalme wa Babiloni;