1 Mambo ya Nyakati 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na wana wa Yosia walikuwa Yohanani mzaliwa wa kwanza, Yehoyakimu+ wa pili, Sedekia+ wa tatu, Shalumu wa nne. Yeremia 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nalo likaendelea kuja katika siku za Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, mpaka kumalizika kwa mwaka wa kumi na moja wa Sedekia+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, mpaka Yerusalemu lilipoenda uhamishoni katika mwezi wa tano.+ Yeremia 22:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Atazikwa kwa maziko ya punda-dume,+ kwa kukokotwa na kutupwa, nje ya malango ya Yerusalemu.’+
15 Na wana wa Yosia walikuwa Yohanani mzaliwa wa kwanza, Yehoyakimu+ wa pili, Sedekia+ wa tatu, Shalumu wa nne.
3 Nalo likaendelea kuja katika siku za Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, mpaka kumalizika kwa mwaka wa kumi na moja wa Sedekia+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, mpaka Yerusalemu lilipoenda uhamishoni katika mwezi wa tano.+